VIGEZO NA MASHARTI YA BONASI

Bonasi ya Usain (mikeka):

  •  OfA itolewayo ni bonasi kwenye mkeka wenye machaguo yasiyopungua 3
  • Ofa hii ni maalumu kwa wateja wote wa Premier Bet waliokidhi vigezo vya kubashiri mikeka kwa kubashiria baada ya Alhamisi ya tarehe 27/03/2019 saa 02:00 usiku muda halisi wa Tanzania
  • Bonasi yako itatumika kama na kama tu ubashiri wako umeshinda
  • Alama zilizofuzu (kwa chaguo) zinahitajika kuwa kubwa zaidi au sawa na 1.2. (Mf. Nina machaguo 10 kwenye tiketi yangu, kama ni machaguo 5 pekee ndio yana alama kubwa zaidi au sawa na 1.2 Nitapata bonasi ya asilimia 10% endapo mkeka wangu utashinda. Kama ni machaguo 6 pekee ndio yana alama kubwa zaidi au sawa na 1.2 Nitapata bonasi ya asilimia 15% kama mkeka wangu utashinda etc...)
  • Asilimia itatumika:
    Machaguo Bonasi
    3 10%
    4 15%
    5 20%
    6 25%
    7 30%
    8 35%
    9 40%
    10 45%
    11 50%
    12 55%
    13 60%
    14 65%
    15 70%
    16 75%
    17 80%
    18 85%
    19 90%
    20 95%
    21+ 100%
  • Bashiri zilizofutwa hazitahesabiwa katika vigezo vya kanuni za bonasi
  • Tunayo haki ,kwa hiari yetu wenyewe, kumuondoa mteja husika kwenye bonasi kama tutabaini njama au ubadhilifu wa ofa
  • Ofa hii ni halali mpaka tarehe 31/12/2020

 

 

Bonasi ya Kuweka Fedha:

Ofa hii ni ya Bonasi ya Asilimia 100% kwenye kiasi taslimu ulichokiweka (kando na Bonasi ya Kujisajili)

  • Maombi ya Bonasi yako yatafanyika punde baada ya kuweka fedha. Tafadahali bofya kwenye "Bonasi Hai" pindi umalizapo kuweka salio.
  • Fedha ulizoweka na bonasi zitahifadhiwa kwenye pochi ya Fedha za Bonasi mpaka vigezo vya utumiaji wa bonasi vitakapofikiwa.
  • Kiasi cha juu kabisa cha bonasi ambacho mchezaji anaweza kupokea kimetajwa kwenye kipengele mawasiliano binafsi.
  • Siku ya mwisho wa kutumika kwa bonasi ambayo mchezaji anaweza kupokea kimatajwa kwenye kipengele cha mawasiliano bonafsi.
  • Bashiri zote ni lazima zifanyike kwa alama za 2.00 au zaidi. Mkeka wowote (ubashiri wenye machaguo mengi) lazima ujumuishe anagalau chaguzi moja yenye alama za 2.00 au zaidi
  • Una siku 7 kukamilisha matakwa ya matumizi ya bonasi. Fedha zozote za bonasi ambazo hazijatumika wakati wa kipindi hiki tajwa zitaondolewa, na kiasi chochote kilibaki kama salio kitarudishwa kwenye pochi wako wa fedha taslimu.
  • Fedha zilizowekwa zinaweza kutolewa muda wowote kipindi cha promosheni, japokuwa maombi yoyote ya utoaji pesa yatasitisha promosheni kwenye akaunti husika na haitakidhi matakwa na fedha za bonasi
  • Bashiri zilizofutwa hazitahesabiwa katika vigezo vya kanuni za bonasi
  • Ubashiri wowote utakaofanyika kwa alama pungufu utagharamiwa na salio lililopo kwenye pochi lakini hautahesabiwa katika vigezo vya kanuni za bonasi
  • Tunayo haki ,kwa hiari yetu wenyewe, kumuondoa mteja husika kwenye bonasi kama tutabaini njama au ubadhilifu wa ofa

 

Jinsi ya kutumia tiketi yangu ya bure?

Hatua ya kwanza: Hatua ya kwanza: Bofya "Tiketi ya bure" kwenye mkeka wako
Free Bet Sportsbook

Hatua ya pili: Chagua tiketi ya bure unayotaka kutumia
Free Bet Sportsbook

Hatua ya tatu: Nenda kwenye mchezo wowote au machaguo unayotaka kubashiria
Hatua ya nne: Fanya uchaguzi wako
Hatua ya tano: Kwenye mkeka, weka bashiri yako (kiasi cha dau kitajumuishwa moja kwa moja na thamani ya tiketi ya bure)

Free Bet Sportsbook

  • Bet ya bure itahesabiwa kwa uhalali wa bet
  • Ili kudai bet ya bure, wachezaji lazima waingie kwenye akaunti yao
  • Bet ya bure itakuwa halali kwa siku 7 baada ya ukombozi
  • Gari ya bure inaweza kutumika tu kwa kupiga michezo
  • Bet ya bure inaweza kutazamwa katika sehemu ya betslip ya akaunti ya wachezaji wanaofaar
  • Tunahifadhi haki, kwa hiari yetu, kuwatenga wateja binafsi kutoka kwa bonus ikiwa tunashutumu kuingiliwa au matumizi mabaya ya kutoa